W aplikacji banku wybierz: BLIK → Przelew na telefon i wklej numer.
The content of the card
Mchango Wa Harusi
Familia ya Mzee Aloyce Ryamoja wa Musoma Mara inayo furaha kukujulisha/kuwajulisha
Bw/Bibi/Bw&Bibi/Miss/Mhe/Dk/Mwl/Eng
.............................................
kuwa kijana wao mpendwa Bw.Joshua A Ryamoja
anatarajia kufunga ndoa na Bi.Christina A Mona mwezi wa kumi na mbili.
Ukiwa kama ndugu,jamaa na rafiki wa karibu na familia hii unaombwa mchango wako wa hali na mali ili kufanikisha shughuli hii muhimu.Tutashukuru iwapo mchango wako utatufikia kabla ya tarehe 10/12/2024 kupitia kwa aliyekupa kadi hii
Tunatanguliza shukrani zetu za dhati;
Mungu akubariki!!!