Createa free cards
Searchmade ecards
Wishesbase wishlist

Mwalimu Joyce Simon Haule

Ads
Mwalimu Joyce Simon Haule
Create a similar
Send a card
The content of the card
Mwaliko wa Kamati ya Harusi

Familia ya Alfred Haule wa Ludewa Mjini inayo furaha kukutaarifu

Mwalimu Joyce Simon Haule

imekuteua kuwa mmoja wa wanakamati wa maandalizi ya Harusi ya kijana wao Mpendwa Samwel Alfred Haule anayetarajia kufunga ndoa na Octavina Mayemba mwanzoni mwa mwezi wa 10/2025.

Ukiwa kama ndugu,jamaa na rafiki wa karibu na familia hii tunaomba ushiriki wako wakaribu kufanikisha shughuli hii Tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwako tukiamini utashiriki nasi kikamilifu.
Kikao kitafanyika tarehe 19/07/2025 siku jumamosi katika ukumbi wa kanisa la Anglikana Ludewa mjini.


Mawasiliano : +255617465009 au +255620653192
Similar cards
Inspirations
Getting United and making aAKSHAY And KHUSHBUNOVEMBER | 22 | 2020On Sunday, 3rd March 2024 at 10:30 am"Gor Dhana Ceremony Invitation"•Gol Dhana Ceremony Invitation•
Statistics Created today: 35 Created yesterday: 109 Created 7 days: 571 Created 30 days: 1697 All ecards: 352780
Copyright by CreateGreetingCards.eu